Uturuki yatuma msaada wa vifaa vya matibabu Afrika Kusini


Uturuki yatuma  msaada wa vifaa vya  matibabu nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kupambana  na virusi vya corona.

 Katika zoezi la kupambana na maambukizi na athari za virusi vya corona, Uturuki inaendelea na  kutoa misaada ya vifaa vya matibabu  kwa mataifa tofauti ulimwenguni.

Uturuki imefahamisha  kutuma msaada wa vifaa vya matibabu nchini Afrika Kusini.

Wizara ya ulinzi ya Uturuki imefahamisha kuwa ndege iliokuwa na vifaa vya mamtibabu na madawa  imeanza sfari yake kutoka katika uwanja wa ndege wa Kayseri na kuelekea nchini Afrika Kusini.

Imefahamishwa kuwa  vifaa hivyo ni pamoja na barakoa na vifaa vingine ambavyo huitajika katika kupambana na  virusi vya corona.

Ndege hiyo ya jeshi aina ya A400M inasubiri kwa hamu kubwa nchini Afrika Kusini.

Comments

Popular posts from this blog

Mwenyekiti aishauri Serikali kuhalalisha uchangudoa ili kujipatia mapato