Kauli ya Membe baada ya kufukuzwa uanachama CCM
“Watanzania wenzangu nimepata habari ya kufukuzwa kwangu kutoka kwenye Chama changu cha CCM, simu zinamiminika hadi nashindwa kuzijibu, Tulieni! nitapata muda wa kuongea na wote muda si mrefu” - MEMBE

Comments
Post a Comment