Breaking: Mzee Makamba asamehewa CCM
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM ikiongozwa na Mwenyekiti na Rais wa Tanzania Dkt Magufuli imemsamehe makosa yake ya kimaadili Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Yusuph Makamba, “Mzee Makamba ameandika barua na kuomba asamehewe”

Comments
Post a Comment