Breaking: Mzee Makamba asamehewa CCM

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM ikiongozwa na Mwenyekiti na Rais wa Tanzania Dkt Magufuli imemsamehe makosa yake ya kimaadili Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Yusuph Makamba, “Mzee Makamba ameandika barua na kuomba asamehewe”

Comments

Popular posts from this blog

Mwenyekiti aishauri Serikali kuhalalisha uchangudoa ili kujipatia mapato