Breaking: CCM yamfukuza uanachama Membe
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM ikiongozwa na Mwenyekiti na Rais wa Tanzania Dkt Magufuli katika kikao cha kawaida cha Kamati hiyo kilichoketi leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, DSM imeazimia kumfukuza uanachama Bernard Membe.

Comments
Post a Comment