Tuzo za MO Dewji kufanyika mara pili ndani ya Simba SC


Tuzo za Mo Simba zilizoasisiwa na Mohammend Dewji mwaka 2018 zinatarajiwa kutolewa kwa awamu ya pili baada ya kumalizika kwa msimu wa 2018/2019.



Comments

Popular posts from this blog

Mwenyekiti aishauri Serikali kuhalalisha uchangudoa ili kujipatia mapato