Prof. Kabudi afanya mazungumzo na Naibu Msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi(Mb.),(kulia) akiwa katika mazungumzo na Naibu Msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki na Sudan, Balozi Makila James, katika Ofisi ndogo za Wizara Dar es salaam jana.
Comments
Post a Comment